AINA ZA SHULE
KALENDA YA SHULE
WALIMU NA WAFANYAKAZI
KUJUA KIINGERZA
KUSAJILI SHULENI
JUA HAKI NA WAJIBU WAKO
RUHUSA YA LUGHA
KUHUDHURIA
MAHITAJI YA CHANJO
KUUNGA MTOTO WAKO MKONO NYUMBANI
RASILIMALI ZAIDI
Aina za shule
Kuna aina za shule za umri tofauti:
Kalenda ya shule
Wajibu wa mwalimu/Wafanyikazi
Waelekezi
Waelekezi hawafunzi wanafunzi. Wamesimamia shule. Kuna aina tofauti ya waelekezi:
Mwelekezi mkuu: Mwelekezi mkuu anasimamia wilaya nzima ya shule.
Mwalimu mkuu: Kila shule kwa wilaya ina mwalimu mkuu ambaye anasimamia shule. Mwalimu mkuu huwasiliana na walimu, wanafunzi, na familia za wanafunzi.
Msaydizi Mkuu: Kila shule ina moja au zaidi wakuu msaidizi anayewasaidia shule kuu.
walimu
Walimu hufunza wanafunzi darasani. Kuna aina tofauti za walimu:
Welîmu we dersa: Chekechea hadi gredi la 5, wanafunzi huwa wanashinda na mwalimu wao wa darasa siku nyingi za shule. Mwalimu wao wa darasa wakati mwingi hufunza masomo mengi ya shule, kama vile kusoma, hesabati, masomo ya jamii, na sayansi.
Walîmo wataalamu: katika shule ya kati (gredi 6-8) na shule ya upili (gredi 9-12), wanafunzi wana walimu tofauti ambao wamefuzu kwa sehemu Fulani ya utaalamu, kama vile Sanaa za lugha ya Kiingereza, hesabati, sayansi, masomo yamo jami, ya mwili, sanaa, na kadhalika….
Wateya kuza Lugha (ELD): Walimu wa ELD wanashirikiana na walimu wa darasa na ujuzi kukuza û wezo katika lugha ya Kiingereza we kusikiliza, kuzungumza, kusoma, na kuandika, na pia ufahamu wa kitamaduni.
Mwalimu wa Elimu spesheli: Walimu wa elimu spesheli wanawaunga mikono wanafunzi ambao wanamahitaji tofauti ya kimasomo, kihisia, na/au ya kimwili.
Wafanyikazi wa shule
Kando na walimu, kuna wafanyikazi wengine ambao wanasaidia wanafunzi na familia, kama vile:
Mshauri wa shule: Washauri wa shule wanashauri wanafunzi kwa elimu yao, kuwasaidia kuchagua madarasa na kubuni ratiba, na pia kuwasaidia na mahitaji yao yao yao kijamii, kihisia, na ya kitabia. Wanaweza ku tê xwestin ku ew bişopîne û nehêle ku ew rasilimalî were girtin.
Muuguzi wa shule: Muuguzi we anasaidia wanafunzi ambao ni wagonjwa au wameumia.
Têgihîştina ji bo malbatê (SFRS): Mtaalamu wa rasilimali za shule na familia wanawasaidia wanafunzi na familia ambazo wana mahitaji mbali mbali za kijamii, kitabia, na ya kimwili. Wanaweza got ku ev yeka hanê ya numbanî/şule ya ku tembûra malbatê ya ku ji malbatê tê nasîn e.
Afisa wa Rasilimali za Shule (SRO): SRO ji bo welîhîtîmu polîsiyonê amabao wanasaidia wanafunzi na wafanyikazi ku ew ji bo şuştina hanê ya ku ji we re ye, ne diyar e.
Karani: Karani wa shule anafanya kazi kwa afisi kuu, na anaweza saidia kuunganisha familia na waelekezi na walimu. Wanaweza pia kuweka rekodi kama mtoto wako ako shuleni au ametohudhuria. Ji ber vê yekê, ev yek ji wan re tê gotin.
Haki za wazazi na wacibu
Kama mzazi alio na mtoto kwa mfumo wa shule wa Marekani, ukona haki na wajibu. Jedwali hili linafupisha zote:
UnaHAKI ya:
- Kujua jinsi mtoto wako anaendelea shuleni
- Kukutana na walimu kuhusu kazi ya shule ya mtoto wako na hatua za kiakademia
- Ji ber vê yekê, ev yek ji we re ye
- Kuomba shule msaada kama mtoto wako anawakati mgumu kuona, kusikia, au kusoma shuleni
- Ji ber vê yekê, ji bo ku hûn bi karatî re bişopînin
- Kujua programa zipo zenye zinaweza saidia mtoto wako
- Ji ber vê yekê, ew ê ji nû ve bişopîne
- Kuenda mikutano ya şûle
- Kupokea misaada ya utafsiri wa lugha unapokutana na walimu au wafanyikazi wa shule.
UnaWAJIBU wa:
- Kuhakikisha mtoto wako anaenda shuleni kwa wakati, kila siku, pengine kama ni mgonjwa.
- Kuhakikisha mtoto wako anafanya kazi yake ya ziada kila siku
- Kuhakikisha mtoto wako ni safi; amelishwa; anavalia nguo safi, na analala vizuri.
- Kuhakikisha mtoto wako anaelewa jinsi ya kujibeba shuleni na anafuata sheria zilizobuniwa na mwalimu. Şerîa hizi zînaweza kuwa:
- Lazima watoto wasikilize mwalimu na kufanya vile mwalimu anawaambia.
- Wanaiunua mikono yao ili wazungumze.
- Wanasimama kwa foleni na kutembea pamoja shuleni.
- Hawagongi au kupigana.
- Hawatişî watoto wengine.
- Hawatumiî maneno mabaya.
- Wanafanya kazi pamoja na wanafunzi wengine.
- Wanakuja kwa wakati darsani.
- Wanamaliza kazi yao ya ziada na kuileta hadi şuleni.
Ji bo vê yekê bisekine
Unaweza kuwa unawaza jinsi, kama mzazi, vile unaweza kusaidia kuunga mkono hatua za kilingua na kiakedemia za mtoto wako. Ndio hizi namna kadha:
- Kuwa na. Elewa kuwa kujua lugha ni njia ngumu, na ni ndefu.
- Kujua lugha mpya inachukua nguvu nyingi sana. Hakikisha mtoto wako anapata mapumziko ya kutosha.
- Tayarisha mahala palipotulia na wakati wa kawaida wa kufanya kazi ya ziada au kusoma.
- Zungumza na mtoto wako kuhusu çenye kinafanyika shuleni.
- Wasiliana na mwalimu wa mtoto wako na ushiriki kwa mikongamano ya mzazi-mwalimu.
- Himiza mtoto wako kukuonyesha kazi zote za shule.
- Tunza lugha yako ya kaisili. Kuwa serlingua nizane!
- Kusoma na mtoto wako wesomi na undishi wowote kwa lugha ya kiasili utahamisha na kuunga mcono kukuza kwa usomi na undishi kwa lugha ya Kiingereza.
RASILIMALI YA FAMILIA NA CAMII
-
Kituo cha wakimbizi
-
Shule za jamii
-
Elimu ya watu wazima/jopo la usomi na undishi
-
Zahanati za Afya